NI KAMA MSHUMAA UWAKAO KATIKA UPEPO MKALI. ILIKUWA TRH 19.9.2010 SAA NANE MCHANA BIBI YANGU MZAA BABA ALIAGADUNIA.
DADA ZAKE MAREHEMU BIBI JOSEPHINA AMBAO NI WADOGO ZAKE WAKIAGA MWILI WA MAREHEMU KWA PAMOJA.
MOJA KATI YA KITUKUU WA MAREHEMU.
SHANGAZI YANGU SALOME SIMBIRA AKIUAGA MWILI WA MAMA YAKE.
KWAYA YA AIC NKOME GEITA ILIUFARIJI UMATI VYA KUTOSHA SIKU YA MAZISHI HATA KATIKA MKESHA WA MATANGA.
MWILI WA MAREHEMU UKISHUSHWA KATIKA NYUMBA YAKE YA MILELE.
"ULIUMBWA KWA MAVUMBI NA MAVUMBINI UTARUDI" NI KAULI YA SIMANZI SANA.
WAJUKUU (NAMI NIKIWA MMOJA WAO) TUKIWEKA MASHADA YA MAUA.
BIBI JOSEPHINA ALIFARIKI 19.SEPT.2010 KTK HOSPITALI YA WILAYA YA GEITA MWANZA NA KUZIKWA NYUMBANI KWAKE NKOME GEITA TAREHE 21.SEPT.2010. BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
0 Comments